Wito umetolewa kwa wananchi kushirikiana Na jeshi LA polisi wilayani Mbulu ili kuweza kutokomeza tatizo LA ubakaji wilayani hapa.
Wito huo umetolewa NA mkuu Wa wilaya ya Mbulu mkoani manyara ndugu chelestino mofugawakati akizungumza NA Redio habari njema akiwa ofisini kwake
Amesema kesi nyingi za ubakaji zinashindwa kufanikiwa kutokana NA wananchi kutoweza kutoa ushirikano kwa polisi pindi inaporipotiwa kesi ya ubakaji .
Tatizo LA ubakaji limekuwa sugu hapa wilayani Mbulu NA kwa mwaka 2016 zimeripotiwa kesi 22 idadi hiyo kuonesha tatizo kuongezeka kila mwaka .
By Agustino Hamis
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni