Jumanne, 23 Mei 2017

BURUDANI


Sijawahi kuwa teja wa dawa za kulevya – Young Dee





Baada ya uliokuwa uongozi wa zamani wa Young Dee ‘MDB’ kudai waliachana na rapa huyo kwa madai ya kurudia kutumia dawa za kulevya, Yound Dee amedai hajawahi rudia kutumia dawa za kulevya huku akidai yeye hakuwahi kuwa muathirika wa dawa za kelevya. Pia rapa huyo amefunguka kuhusu familia yake, uongozi wake mpya pamoja na wazani.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni